Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zitto ataja ahadi alizoshindwa kutekeleza 

Jumamosi , 12th Sep , 2020

Mgombea Ubunge jimbo la Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe amedai kuwa katika uongozi wake wa miaka mitano akiwa kama Mbunge wa jimbo kuna ahadi alishindwa kutekeleza.

Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini, Zitto Kabwe

Zitto ametoa kauli hiyo wakati akizindua kampeni yake ambapo alikiri kuwa kuna ahadi zilishindwa kutimizwa ikiwemo kuishawishi Manispaa ya mji huo kuinunua timu ya Mashujaa ili Mkoa huo upate timu itakayowawakilisha Ligi Kuu soka Tanzania Bara.

"CCM ilitukwamisha tulitaka kuishawishi manispaa ili kuinunua timu ya Mashujaa ili tupate wawakilishi wa Mkoa katika mchezo wa soka Ligi Kuu, lakini tutaendelee kupambana ili tupate timu kutoka Kigoma itakayopanda kucheza Ligi Kuu", amesema Zitto.

Zitto ameongeza kuwa, "Katika kipindi cha miaka 5 nimefanya kazi kubwa kushirikiana na wabunge wengine wa mkoa wa Kigoma kupaza sauti ili barabara za mkoa wa Kigoma zijengwe kwa lami kama ilivyo mikoa mingine hapa Tanzania".

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi