Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kituo cha uwekezaji chatoa taarifa yake

Alhamisi , 29th Apr , 2021

Kituo cha Uwekezaji nchini TIC kimesema kuanzia Julai 2020 hadi sasa hakuna kampeni iliyofanyika ya kusafiri kutangaza vivutio vya utalii kutokana na mataifa mbalimbali duniani kuweka masharti dhidi ya Covid 19 hali iliyopelekea kuendesha mikutano zaidi ya saba kwa njia ya mtandao.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Uwekezaji nchini Dkt Maduhu Kazi

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Uwekezaji nchini Dkt Maduhu Kazi wakati akitoa Taarifa ya robo ya tatu ya mwaka 2020/2021 ambapo pia ameelezea hadi sasa jumla ya miradi 151 imesajiliwa katika kipindi cha mwezi Julai 2020 hadi machi 2021.

"Kama Kituo kwa sasa tunafanya kila mbinu kuhakikisha zile changamoto zote za Uwekezaji zinakoma ikiwemo upande wa ardhi,ushirikiano katika Taasisi zinazoingiliana katika Uwekezaji," amesema Dkt Maduhu.

Aidha Dkt Kazi ameeleza kuwa wamekuwa wakitumia jukwaa la Africa Investment Forum kuielezea miradi ya ndani  kwakuwa pana wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka duniani .

Kuhusu Suala la wawekezaji wanaohitaji ardhi amesema wanashirikiana vyema na wizara ya ardhi kuhakikisha wanapata maeneo bila vikwazo huku Taasisi ikiboresha utoaji wa huduma za vibali na leseni katika Kituo Cha pamoja yaani one stop facilitation center.

HABARI ZAIDI

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita