Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Linah asafishwa kashfa na mpenzi wake

Jumamosi , 21st Oct , 2017

Mzazi mwenzake na Msanii wa bongofleva, Linah Sanga, amekanusha madai ya mpenzi wake huyo kumbana kiasi cha kukosa fursa ya kumuhudumia mwanae aliyempata na mwanamke mwingine na kusema "Linah ni mwanamke mwenye kipaumbele kwa mwanae kuliko alihisi.

Akifunguka EATV kwenye kipindi cha Friday Night Live, Shaban Mchovu (mwanaume aliyezaa na Linah) amesema kwa,mba pamoja na umaarufu alionao mzazi mwenzake hajawi kuvimba au kupotezea suala la yeye kumuhudumia mtoto wake na amemsifu kwamba mara zote amekuwa akimkumbussha na kumsisitiza kufanya hivyo na sivyo kama maneno ya watu wengine yanavyosema.

"Linah ni mwanamke ambaye anachukulia vitu serious na siyo poa kama watu wanavyomuona kwa nje. Anachukulia kipaumbele sana kwa mwanangu, sijui kama anafanya hivyo nione kama anajali sana lakini wakati mwingine unaona ana moyo haswa wa kufanya hivyo. Sijutii kuwa na Linah na enjoy sana"

Akizungumza kuhusu Linah kuvunja mahusiano na mama mtoto wake wa kwanza ambaye tayari alishamvalisha pete ya uchumba, Bw. Mchomvu amekanusha na kusema kwamba Linah hakuhusika na kuvunja mahusiano yake bali ni yeye na mpenzi wake wa awali walishindwa kutatua matatizo yao.

"Chenye mwanzo huwa na mwisho. Matatizo yalitokea tukashindwa kuyatatua sisi wenyewe mwisho wa siku ikawa ni kama mkataba umeharibika. Na kuhusu kwamba uhusiano na mpenzi wangu huyo wa zamani ulisababisha afya yake kuzorota kama jinsi watu wanavyosema mimi sina taarifa hizo nachojua yupo vizuri na mimi na familia yangu mpya tupo safi"

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria