Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pato la Taifa lakuwa kwa asilimia 6.9

Alhamisi , 8th Apr , 2021

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema tathimini za utekelezaji wa mpango wa pili wa maendeleo ya  taifa limeonesha kuwa pato la taifa lilikuwa kwa asilimia 6.9.

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba

Dkt.Mwigulu amesema hayo akiwasilisha mapendekezo ya mpango wa Mpango wa  wa tatu wa maendeleo ya taifa wa miaka mitano ambapo amesema mpango huo una lengo la kujenga uchumi shindani na viwanda kwa maendeleo ya watu.

“Kuhusu tathimini na utekelezaji mpango wa maendeleo ya taifa  uliopita inaonesha kuwa katika kipindi cha utekelezaji cha miaka minne pato la taifa lilikuwa kwa 6.9%  mfumuko wa bei ulikuwa wa wastani 4.1%  kwa mwaka, ikiwa ndani ya lengo la kutozidi asilimia 5,” amesema Dkt.Mwigulu

Awali kabla ya kuwasilisha mapendekezo hayo Dkt. Mwigulu alimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uteuzi katika nyadhifa aliyompa na kusema kuwa uteuzi huu unadhihirisha Rais ana imani kubwa na wana yanga

“Mhe. Spika uteuzi wa Makamu wa Rais na uteuzi wangu umeonyesha Mhe. Rais ana imani kubwa sana na wana yanga hasa ukizingatia historia ya ukombozi wa taifa hili," amesema Dkt.Mwigulu

HABARI ZAIDI

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita