Wa pili kulia Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Aboubakari Kunenge akisikiliza maelezo ya utendaji kazi kitengo cha dharura cha hospitali ya taifa ya Muhimbili
Kushoto ni mbunge wa Mbeya Mjini kupitia CCM, Dkt. Tulia Ackson, na kulia ni mbunge mstaafu wa jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu).
Zlatan Ibrahimovic (Katikati) akipongezwa na mlinzi Theo Hernandez (Kulia) baada ya kupachika bao katika mchezo dhidi ya Napoli.
Wachezaji wa Yanga na Namungo wakizozana katika mchezo wa jana wa VPL uliomalizika kwa sare ya bao 1-1.
Mohamed Salah (Pichani) akishangilia baada ya kupachika bao wakati Liverpool ilipotoka sare na Everton.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde.
Pozi la Billnass na Nandy wakiwa katikati ya barabara
Afisa Mhamasishaji na Msemaji wa klabu ya Yanga Antonio Nugaz
Mgeni Rasmi wa mashindano ya NBC Dodoma Marathon ambaye ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan akitoa hotuba yake wakati wa kuhitimisha mashindano hayo.
