Ijumaa , 13th Mar , 2026

Unawakumbuka waigizaji wa Nigeria Osita Iheme and Chinedu Ikedieze (Aki na Ukwa) ambao walifanya utoto wetu kuwa bora sana mwanzoni mwa miaka ya 2000 katika maigizo yao.

Picha ya Aki na Ukwa

Unaambiwa kwa sasa Osita Iheme (Aki) ana miaka 44 na Chinedu (Ukwa) ana miaka 48, kwa pamoja wameigiza zaidi ya Movies 15.

Kabla ya wanamuziki Davido, Wizkid, Burna Boy, Rema, Asake, Tems Baby, Ayra Starr na Tiwa Savage Aki na Ukwa walitamba sana Tanzania na Africa Mashariki kwa ujumla.

Ukiachilia mbali uwezo wao wa kuigiza sasa hivi wanafanya shughuli zingine za ujasiriamali na uwekezaji ndani ya Taifa lao la Nigeria.