Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ali Kiba ataka jambo hili kwa Serikali

Jumanne , 22nd Oct , 2019

Staa wa muziki wa BongoFleva Ali Kiba, ameiomba Serikali iwatumie vizuri wasanii wake ikiwa kuna jambo muhimu kwa sababu wakifanya hivyo, itakuwa ni rahisi kufikisha ujumbe haraka kwa wananchi wake.

Ali Kiba amezungumza hayo baada ya kufika kisiwani Zanzibar na kuombwa kutangaza vivutio vya utalii vinavyopatikana kisiwani humo na Waziri wa Habari Utalii na mambo ya kale ,Thabit Kombo.

"Katika jambo la kitaifa au la umuhimu sana ili kushiriki na wananchi au wanajamii ni lazima serikali iwatumie wasanii kwa sababu ni jambo muhimu, busara na njia mbadala ambayo ni rahisi kwa kuwa sisi tunapendwa na wananchi nina imani hiyo" ameeleza Ali Kiba

"Tumekuwa tukifanya kampeni kwenye nchi tofauti tofauti kwa kutumia wasanii, vita vikitokea wasanii ndiyo wanatuliza, ikitokea majanga au serikali inahitaji msaada fulani kwa wananchi wakitutumia sisi inakuwa wepesi sana kuwatimizia" ameongeza.

Pia amewataka wananchi wote kufanya utalii wa ndani kwa sababu kila mtu ana haki ya kujua kila kitu kinachohusiana na nchi yake.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani