Jumanne , 24th Aug , 2021

King wa Bongo Fleva, Alikiba amwaga chozi baada ya kuona picha iliyochora na kuwekwa kwenye frame ya marehemu Baba yake ‘Saleh Kiba’ aliyopewa kama zawadi kutoka kwa mmoja ya mashabiki zake.

Picha ya Baba mzazi wa Alikiba

Licha ya kuifurahia zawadi hiyo ya picha ila ilimtonesha kidonda cha kumpoteza mmoja ya watu muhimu maishani mwake.

Baba mzazi wa mwanamuziki huyo amefariki dunia mwaka 2019  

Tazama video yote hapa