Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Haitham afunguka mazito kuporwa mume na Amber Lulu

Alhamisi , 21st Mar , 2019

Msanii Haitham ambaye hivi karibuni ameibua mzozo baada ya kudai Amber Lulu amemchukulia mume wake anayejulikana kwa jina la Niite Boshen, ameweka wazi ukweli wa suala hilo, na kumtaja Amber Lulu kama mwanamke asiye na sifa za kuwa mwanamke wake.

Akizungumzia hilo Haitham amesema kwamba alianza kuona viashiria vya wawili hao muda mrefu wakati Amber Lulu akija kuchora tatoo kwa mume wake, lakini alikuwa akishindwa kufuatilia kwa sababu hakuwa na ushahidi.

Haitham ameendelea kuelezea kwamba hakuna asiyejua kuwa Amber Lulu hawezi kutulia na mwanaume mpaka kufikia hatua ya kuchukua mwanaume wake, ambaye alikuwa akimchora tatto za bure.

Asimulia kwa hasira

“Amber ana tamaa, hawezi kuridhika na mwanaume mmoja, wote tunafahamu, akaona sasa yule alikuwa anamchora tattoo za bure, isiishie hapo tu akachore na mengine, ila mimi nilianza kuona viashiria vyao tu sivielewielewi sema nikawa sifuatilii. Juzi nilikuwa home na mtoto, from no hwere napigiwa simu oya unajua mume wako yuko sehemu fulani, wakati jana yake alinipigia simu mimi nasafiri, kumbe aliniektia akaondoka na yule”, amesema Hitham kwa hasira.

“Who is Amber Lulu, ni mwanamke gani, ukimuangalia ukinilinganisha na mimi huwezi kutulinganisha, akaona mimi kuwa na Bosheni kama nafaidi, mimi hainipi stress”, ameendelea kusema Haitham.

Kwa upande wa Amber Lulu ameonekana kutojali linaloendelea huku akiendelea kumpost mwanaume huyo, na kumuwekea alama za makopa kopa na caption za kumchamba.

Haitham na Niite Boshen wamezaa mtoto mmoja wa kike, na imeelezwa kuwa wawili hao walifunga ndoa rasmi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa