Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Amkeni Bwana....wamerudiana wana!!

Jumanne , 3rd Sep , 2019

Ni takribani siku 4 zimepita tangu kuachiwa kwa wimbo wa pamoja Nandy na Billnas unaokwenda kwa jina la Bugana, ambapo ndani ya siku hizo hizo 4 umeweza kutazamwa na watu zaidi ya laki 5.

Nandy na Billnas

Wimbo wa pamoja kati ya Nandy na Billnas umeondoa taswira ambayo ilikuwepo kwa mashabiki wengi, ambao walikuwa wakiamini kuwa wasanii hao ambao wamewahi kuwa wapenzi hawana maelewano.

Kupitia Instagram zao wamekuwa wakiweka picha kadhaa huku zikiambatana na maneno ambayo yamekuwa yakionesha uchokozi, huku mashabiki wengi wakitoa maoni yao kuonesha watu hao huenda wapo pamoja.

Mojawapo ya 'Post' ambayo imepata Komenti nyingi, imewekwa na Nandy akiwa na Billnas kisha kuandika "Eti tunafanana na bro wangu?????"

Katika komenti wengi wameonesha kupinga hilo huku wengine wakitumia lugha kali, kejeli na kuwadhihaki wawili hao huku wakiitaja mara kwa mara video yao ya pamoja ambayo iliwahi kuvuja.

"Bro tena Nandy kwa 'kiss' lile jamani tuoneeni huruma basi mnatuchanganya," aliandika shabiki.
"Nandy unajua kuvuruga watu," aliandika shabiki mwingine.

Kwa mujibu wa Nandy na Billnas wanasema kwa sasa ni marafiki wa kawaida na ukaribu ambao watu wanauona NI kwaajili ya kibiashara zaidi lakini mashabiki wengi hawakubaliani na hilo.

"AMKENI BWANA ....WAMERUDIANA," aliandika shabiki mwingine

 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria