Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bob Maneck aja na mapinduzi katika muziki

Ijumaa , 24th Mar , 2017

Mtayarishaji wa muziki Bob Maneck kutoka AM Records amesema anategemea kuachia kitabu chake kinachoelekeza na kufundisha masuala ya muziki hivi karibuni baada ya jambo hilo kushindikana mwaka 2016.

Mtayarishaji wa muziki Bob Maneck akiwa studio

Maneck amesema tatizo lilipolekea kushindwa kukitoa kitabu hicho ni kutokana na kutafuta waandishi waliobobea katika fani hiyo ili waweze kukiandika vizuri ili mradi kisiweze kumchosha msomaji mwenye nia ya kutaka kujifunza.

"Kwa jinsi nilivyopanga mimi na namna walivyoniambia wao sikutaka kitabu changu kiwe kirefu mpaka kimchoshe msomaji lakini jisni walivyoniambia kwamba kitabu kina kanuni zake, kuna vitu lazima vitimie ili kipitishwe na watu fulani ndiyo kikamilike kabisa" Alisema Maneck

Aidha 'Producer' huyo amesema wapo katika hatua za mwisho na mpaka kufikia mwezi wa sita kitakuwa kipo mtaani rasmi huku akifafanua maudhui ya kitabu hicho kuwa kitakuwa kimeegemea zaidi kwenye ujuzi wa 'production' ya muziki kwa sababu wengi wamekuwa wakifanya kazi hizo kama kipaji na siyo kusomea.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea