
Kassim Mganga
Cassim amesema katika maisha changamoto ni lazima hivyo kama binadamu hutakiwi kukata tamaa mpaka ujue mwisho wake na na kuziona changamoto kama chachu ya kuweza kufika mbali zaidi unapohitaji.
Cassim amesema katika maisha yake hafikirii kukata tamaa kiasi cha kuacha muziki labda muziki umuache yeye huku akisema siyo katika muziki tu hata maisha ya kawaida mwanadamu hutakiwi kukata tamaa.