Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chidi Benz atimiza ahadi yake kwa Juliana Shonza

Ijumaa , 20th Mar , 2020

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza amesema amefurahi kutembelewa na mwana Hip Hop Chidi Benz, ikiwa ni ahadi aliyoitimiza msanii huyo walipokutana katika uzinduzi wa kazi ya Lulu Diva siku ya Machi 13,2020.

Kulia kwenye picha ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza na msanii Chidi Benz

Shonza amesema Chidi Benz alimtembelea ofisini kwake Dodoma, siku ya jana Machi 19 na kumueleza mambo ya msingi kama kujisajili BASATA na kutaka kazi zake zisajiliwe na COSOTA.

Akitoa taarifa hiyo kupitia mtandao wa Instagram ameandika kuwa  "Hiki chuma kipo imara zaidi ya jana, nilifurahi kutembelewa na msanii nguli wa muziki wa BongoFleva Chidi Benz ofisini kwangu Dodoma , ikiwa ni ahadi yake aliyoniahidi nilipokutana naye siku ya uzinduzi wa kazi ya Lulu Diva".

"Kubwa ameniambia anataka kufanya kazi zake za sanaa kiuhalali, kupata usajili wa BASATA pamoja na kusajili kazi zake COSOTA, pia amewashukuru mashabiki, wasanii wenziye na wadau wa muziki kwa kuendelea kumuamini na kumualika kwenye show mbalimbali licha ya changamoto alizopitia" ameongeza.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu