Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Country Boy adai kuwa hajawahi kuachwa

Jumatano , 16th Oct , 2019

Rapa Country Boy amepiga stori na EATV & EA Radio Digital, na amefunguka kuwa hajawahi kuachwa katika mapenzi na kwamba baada ya kushindwana kitabia yeye na Mama wa mtoto wake waliamua kutengana.

Rapa Country Boy

Akizungumzia suala la kuachana na mzazi mwenziye, Country Boy, amesema kwa sasa ana mtoto wa kiume ila anaishi kwa mama yake, baada ya kutengana kwa kuwa walishindwana ila hakuachwa,

"Nina mtoto nadhani anaenda miaka mitano, lakini Mama yake tulishaachana, sikupenda na sikutaka kuweka mahusiano yangu hadharani kila mtu anaona kwa jicho lake kwa hiyo huenda akaona njia yangu sio sahihi na yeye akaamua kwenda kwa njia yake na tulishindwana ila sijawahi kuachwa kabisa " amesema Country Boy.

Aidha Country Boy amefunguka kuhusu mahusiano ya Officiall Nai na Moni Centrozone, baada ya kusambaa kwa picha katika mtandao wa kijamii wa Instagram ikiashiria kama wameachana.

"Ni mambo tu ya mitandao tu sina uhakika na hilo maana mimi ni mtu wao wa karibu na kama taarifa za kuachana zingekuwa rasmi ningekuwa wa kwanza hata ile picha imefutwa huenda walikwazana maana kwenye mahusiano kuna kugombana na hasira" ameeleza.

Pia amesema watu wasiingilie mapenzi ya watu maana wagombanao ndiyo wapatanao.
 

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu