Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dance 100% nusu fainali yafunika Oysterbay leo

Jumamosi , 29th Aug , 2015

Mashindano ya Dance 100% 2015 hatua ya Robo Fainali hatimaye yamekamilika na kufanikisha kupatikana kwa makundi 10 ambayo yanasonga mbele kulekea hatua ya fainali ya mashindano hayo makubwa Afrika Mashariki.

Washindi katika picha ya pamoja

Kutokana na uwezo mkubwa walioonesha mbele ya majaji Majokery, Wazawa Crew, The Best, Cute Babies, Best Boys Kaka Zao, The Winners, Team ya Shamba, The WD, Team Makorokocho na Quality Boys ndio makundi yaliyofanikiwa kuingia nusu fainali.

Upekee na mvuto wa aina yake kutoka kwa mashabiki kati ya mambo mengine ulikuwa ni muonekano mpya ya set ya jukwaa la madansa jipya kabisa ambalo lipo juu lililowezesha kila aliyeweza kufika kujionea burudani ya dansi na ubunifu katika hali ya kipekee.

Kwa kipekee pia na kwa tathmini ya majaji, Kundi la Majokery ni kati ya washindani waliomwagiwa sifa nyingi kwa kuzingatia kuhusisha nyimbo za kitamaduni katika dansi yao, na vilevile usimuliaji wa hadithi kupitia kile walichokicheza.

Kama sehemu ya tathmini ya mashindano hayo, mratibu wa mashindano kutoka BASATA, Kwerugira Maregesi ametoa wito kwa makundi yaliyofanikiwa kuingia nusu fainali kuongeza mazoezi zaidi na kuzingatia vigezo vya mashindano kama siri pekee ya kuweza kushinda.

Mpango huo mzima ambao ulisimamiwa vizuri na majaji Super Nyamwela, Queen Darleen na Shetta na kushereheshwa na T Bway pamoja na Maggie Vampire, umeletwa kwako na team nzima ya East Africa Radio na East Africa TV na kudhaminiwa kwa nguvu kabisa na Coca Cola na Vodacom Tanzania.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea