Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EATV Awards zimeniweka pazuri - Khadija Ally

Jumanne , 13th Dec , 2016

Msanii wa filamu nchini Tanzania ambaye alikuwa kwenye kinyang'anyiro cha muigizaji bora wa kike katika tuzo za muziki na filamu za EATV, Khadija Ally ameibuka na kutoa shukrani zake kwa EATV, wadhamini wa tuzo hizo pamoja na watu waliompigia kura.

Khadija Ally

Khadija ambaye aliingia kwenye tuzo hizo kupitia movie yake ya 3Days, ametoa shukrani kupitia ujumbe mfupi alioutuma kwa wadau wote, na kusema kuwa tuzo hizo zimemuweka mahala pazuri katika tasnia ya filamu nchini licha ya kutoshinda katika kipengele hicho.

Pia Khadija hakusita kuwapongeza wasanii wenzake aliokuwa nao katika kipengele hicho hasa mshindi ambaye ni Chuchu Hansy, huku akisema kuwa wasanii wote walikuwa bora, lakini ni lazima mshindi awe mmoja, hivyo inategemeana na bahati ya mtu, na kwamba anakubaliana na maamuzi yaliyotokea.

Khadija amesema "Kwanza kabisa nashukuru Eatv, East Africa Radio, Vodacom, Cocacola na Barclays bank kwa kuandaa Eatv Awards mie nasema asanteni na asiyekubali kushindwa si mshindani pia nawapongeza wote waliopata tunzo, na ninaamini wote tulikua bora ila kupata tunzo ni bahati tu". 

Baadhi ya washiriki wakifuatilia tukio la utoaji tuzo katika ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani