Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Esha Buheti afunguka kuhusu ajali aliyoipata

Jumanne , 14th Jan , 2020

Msanii wa filamu na mfanyabiashara Esha Buheti amesema anasikitika sana kwa habari zianazoendelea kuhusu ajali aliyoipata pia yupo tayari kuongea na waandishi wa habari juu ya suala hilo pamoja na issue ya utapeli.

Gari ambayo amepata nayo ajali Esha Buheti

Kupitia katika ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Esha Buheti amepost picha ya gari ambayo amepata nayo ajali katika daraja la Wami mkoani Tanga ambapo ameandika "Ahsanteni kwa  message zenu na simu nyingi sana nimezipata ila kwa sasa kicha kinauma sana, ni kweli tumepata ajali ila tumetoka salama alhamdulillah"

Aidha muda mfupi uliopita kupitia mtandao huohuo wa Instagram amepost video fupi ya gari alilopata nalo ajali likiwa limebebwa na kuandika,

"Tunaanza safari ya kurudi Dar, nasikitika sana kwa habari zinazoendelea kuhusu ajali hii, nimekaa kimya sana ila muda wa kuongea umefika, nimechoka kwenye maisha yangu sijawahi kumtapeli  wala kumuibia mtu"  ameandika

Mimi sio mtu wa maneno maneno ndiyo maana kwenye maisha yangu nipo kivyangu na kazi zangu, nimekaa kimya sana ila imezidi mara naishi maisha ya uongo, mara nimemkuwadia mtu mwanaume na nipo tayari kuongea na waandishi wa habari muda wowote" ameongeza 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita