Alhamisi , 19th Feb , 2026

Msanii Gigy Money anasema amekubali kuolewa kabla ya mwezi wa Ramadhan na kubadilisha dini sababu ya Mwanaume wake Tariq.

Picha ya Gigy Money na mpenzi wake Tariq

Akipiga story kupitia EATV Digital, Gigy Money anasema 

 

“Kabla ya Ramadhan au ndani ya Ramadhan nitakuwa mke wa mtu, nimebadili mpaka dini nimeslimu kabisa! Jina la kiislam naitwa Rouhya”.

 

Una comment gani kuhusu uamuzi huu wa Gigy Money?