
Picha ya msanii Gigy Money
Gigy Money anasema aligharamia kila kitu kwenye usiku huo kuanzia vyakula, vinywaji na ukumbi na aliaka mastaa kadhaa kama Wema Sepetu, Mimi Mars, Lulu Diva, Amber Lulu na Baba Levo.
Interview nzima akizungmzia hilo bonyeza hapa kutazama.