Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hili ndio jina halisi la Alikiba

Ijumaa , 18th Mei , 2018

Msanii Alikiba kwa mara ya kwanza amezungumzia asili ya jina lake Ali Kiba, ambalo wengi wanaamini ndiyo jina lake halisi, jambo ambalo halina ukweli hata chembe.

Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Alikiba amesema jina la Alikiba sio jina lake halisi bali ni jina la utani, ambalo alipewa kabla hajazaliwa.

Akifafanua chanzo cha jina la Kiba, Alikiba amesema wakati mama yake ana ujauzito wake ndugu na marafiki zake walikuwa anampenda kumbana nguo zake na vibanio, wakawa wanamtania mama vibanio mpaka alipozaliwa akaitwa jina hilo la utani, na ndipo lilipozaliwa jina la kiba.

“Kiba ni jina langu mimi tena la utani, wakati mama yamgu alipokuwa na ujauzito wangu, sasa wale mawifi zake, marafiki walikuwa wanambana nguo kwa vibanio wakawa wanamtania mama kibanio, mpaka nilipozaliwa wakawa naniita kibanio, ndio lilipozaliwa la 'Kiba', jina langu halisi mimi ni Ali Saleh Gentamilan", amesema Alikiba.

Jina la 'Kiba' limekuwa kubwa kiasi kwamba karibia watu wote kwenye familia yao wanalitumia akiwemo mdogo wake Abdu Kiba, dada yake Zabibu Kiba na mtoto wake Kiba Junior.

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani