Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Isabella akiri kumpenda kaka wa Godzilla

Jumanne , 5th Mar , 2019

Baada ya kaka yake Godzilla kusema hawamtambui Isabella Mpanda kama mpenzi wa marehemu Godzila na kumtaka kuacha kumtafutia mdogo wake skendo ambazo hakuwa nazo, Bella amesema anampenda shemeji yake.

Isabella

Akiongea kupitia eNEWZ Bella amesema kwamba hakuwa akimfahamu kaka yake na Zilla na wala hawakuwahi kukutana hata siku moja kwa kuwa alikuwa anakaa nje ya Dar es Salaama japo baada ya kumzika Zilla kaka yake alienda nyumbani kwa Bella na wakapata kuongea mambo machache ambayo Bella hakutaka kuyaweka wazi.

"Mimi nampenda sana Shemeji yangu na kwa kweli nitampenda mpaka mwisho wa maisha yetu ya hapa duniani sikuwa namfahamu na wala sikuwahi kukutana naye kabla ya msiba wa Zilla ila baada ya kumzika Zila alinitafuta na tukaongea naye mambo yetu wenyewe ambayo sitaweza kuyasema hapa zaidi ya kusema tu nampenda sana shemeji yangu", aliongea Bella.

Miss Bella Pia anasema kuwa kundi la Scorpion Girls hawapendani ndio maana wameshindwa kurudisha kundi hilo japo anasema hawezi kusema limekufa maana huenda wakaja wakarudiana na kutoa nyimbo ya pamoja japo kwa sasa yeye ameamua kutoa nyimbo zake mwenyewe na atakuwa anatoa nyimbo hizo mara kwa mara na sio kama zamani.

Bofya hapa chini kutazama zaidi.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita