Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jackline Wolper aingia msikitini kuswali

Ijumaa , 11th Jan , 2019

Muigizaji wa 'Bongo Movies', Jackline Wolper ameweka wazi kuwa kwa sasa anaswali msikitini, jambo ambalo limeonekana kushangaza.

Inafahamika kuwa Wolper ni Mkristo na hivi karibuni aliweka wazi kuwa ameokoka, lakini baada ya mwandishi wa www.eatv.tv kumtafuta kwaajili ya mahojiano akajibu kuwa anaingia msikitini saa 6 mchana kuswali swala ya Ijumaa.

Awali mwandishi wa habari hii alimpigia kutaka kujua juu ya 'post' aliyoweka katika mtandao wa instagram inayoelezea kuwa yupo kwenye mahusiano mapya, ndipo alipomuomba dharula mwandishi na kusema kwamba anaingia msikitini kwenye ibada, kisha atamtafuta wazungumze kiundani.

“Nilipost kwa sababu alinifurahisha, nikaona niandike hivyo, ila samahani naingia msikitini kuswali, nikitoka nitakupigia tutazungumza kiundani”, amesema Jackline Wolper.

Kutokana na kauli hiyo mpaka sasa bado haijafahamika wazi kama msanii huyo ambaye alishawhai kubadili dini kwa sababu ya mapenzi, amerudi tena kwenye Uislamu ama la, kwani siku za hivi karibuni amekuwa akionekana kupenda kujifunga ushungi, na hata siku ya 'birtday' yake aliita wanafunzi wa madrasa na kumsomea dua, kitendo ambacho hakifanani na imani yake ya Kikristo inayofahamika. 

 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita