Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jinsi Foby alivyopata 'demu' kiulaini

Jumatatu , 9th Sep , 2019

Mkali wa BongoFleva Foby ameeleza sababu zilizomfanya apate 'demu' kisa umahiri wake wa kucheza mchezo wa mpira wa kikapu na mpira wa miguu.

Foby (kushoto)

Foby ameeleza hayo katika hatua ya 16 bora kwenye mashindano ya Sprite Bball Kings 2019, iliyofanyika siku ya Jumamosi na Jumapili iliyopita katika viwanja vya Don Bosco, Osterbay.

Kuhusu kupata 'demu' Foby ameiambia EATV & EA Radio Digital kuwa,

"Kuna manzi nilishawahi kumpata mkoani kwetu, unajua michezo inawaweka watu karibu, mimi nilikuwa nafanya  mambo ya muziki na mpira, nilivyomfuata wala haikuleta shida yoyote tukabadilishana namba baada ya hapo 'fresh' mambo mengine yakaendelea".

Aidha Foby ameeleza kitu anachovutiwa nacho kwenye mashindano ya Sprite Bball Kings 2019 ambapo amesema,

"Mimi ni mwanamichezo napenda sana michezo, mpira wa kikapu naupenda sana isipokuwa mwili wangu ulinifanya nisicheze ila naelewa kila kitu ndiyo maana kila mwaka siwezi kukosa".

Pia amesema mashindano ya Sprite Bball Kings 2019 yatakuwa magumu sana na kila timu ipo vizuri ila timu anayoishabikia na kuvutiwa nayo ni Mchenga Bball Stars.
 

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera