Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jinsi ilivyokuwa kukamatwa kwa Vitalis Maembe

Jumatano , 8th Jun , 2016

Zile tetesi za kukamatwa kwa mwanamuziki nguli wa tungo zenye ujumbe Vitalis Maembe, zimepigiwa mstari na Kamanda wa polisi mkoa wa Pwani, Boniventure Mushongi.

Akiongea na Planet Bongo ya East Africa Radio leo, Kamanda Mushongi amethibitisha kukamatwa na mwanamuziki huyo, na kwamba ameshafikishwa mahakamani, kutokana na kile kilichoelezwa kuwa kutotii amri ya polisi wakati wa maandamano ya wanafunzi katika chuo cha sanaa Bagamoyo.

“Kulikuwa kuna tatizo pale chuo cha sanaa Bagamoyo, kulikuwa kuna vurugu za wanachuo kwamba kukataa mitihani, wenyewe walikuwa wanataka kwamba chuo cha sanaa watoe mitihani ambayo iwe inatambulika na VETA, lakini wenyewe kama chuo wanasema wana mitihani yao, sasa kwa hiyo kuna vurugu za sintofahamu, ikabidi polisi iende pale, iliwakamata wanafunzi na kuwaleta kituo cha polisi.

Kamanda Mushongi aliendelea kuelezea ….............Yeye (Vitalis Maembe) alienda kule nasikia ana wanafunzi wake pale, akalazimisha kuingia ndani, kuitwa na polisi njoo utoke yeye hataki kutoka, tumeshampeleka mahakamani tu ndo dawa, hii mambo ya dhamana inasumbua”, alisema Kamanda Mushongi.

Pamoja na hayo Planet Bongo ilizungumza na Rose ambaye ni mmoja wa wanafunzi wa chuo hicho, na kuelezea jinsi ilivyokuwa siku ya tukio.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita