Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Johari afunguka kashfa za wasanii kuiba wanaume

Ijumaa , 23rd Aug , 2019

Msanii mkongwe wa filamu Blandina Chagula maarufu kama Johari amefunguka kuhusu kashfa za wasanii wa Bongo Movie kuiba wake na waume za watu.

Johari

Johari amepiga stori na EATV&EA Radio Digital kuhusu kuhusu kashfa hizo ambapo amesema kuwa,

"Hapana mimi sidhani kama ni Bongo Movie peke yake, nahisi hawajafanya tafiti vizuri, wakifanya utafiti vizuri zaidi sehemu zozote hata watu wanaokaa maofisini hivi vitu vipo, sehemu yoyote yenye mkusanyiko wa watu mbalimbali na rika tofauti haya mambo yanatokea kwa sababu kila mtu anatabia zake".

Johari ameendelea kusema kuwa  sifa hizo wanasemwa wasanii wa Bongo Movie kwa sababu kwao yanaonekana zaidi, ila hata watu wengine wanafanya mambo makubwa tu.

Pia msanii huyo amezungumzia siri ya urembo wake na kuonekana mpya kila siku wakati amekuwa kwenye tasnia kwa muda mrefu.

"Siri ni kujitunza tu, mwili ni kama gari la mkaa ukilipeleka sana safari nyingi linakuwa linachoka, nafanya mazoezi kidogo na sijichoshi sana katika mapenzi pia mapenzi hayana nafasi katika maisha yangu" amesema Johari.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala