Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Johari atangaza kufunga ndoa hivi karibuni

Alhamisi , 16th Jan , 2020

Msanii wa filamu Johari Chagula, amesema siku ya ndoa yake atatamani asherehekee na mashabiki zake kwa sababu wamechangia vitu vingi hadi kufika hapo alipo kwa sasa.

Msanii wa filamu Johari

Akipiga stori na Big Chawa kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa, kuanzia 7:00 mchana hadi 10:00 jioni, Johari amesema kwa sasa yupo kwenye mahusiano rasmi na mtu ambaye ana malengo naye.

"Ni kweli nipo kwenye mahusinao, tuombe Mungu ikifika haina shida na kila kitu kitawekwa wazi, harusi yangu nitahitaji sana kusheherekea na mashabiki zangu kwa sababu wamechangia vitu vingi hadi mimi kufikia hapa, siwezi kuwaambia harusi yangu itakuwa lini ila itakapofika nitawaambia" amesema Johari.

Aidha Johari amesema kamwe hataweza kumchora mtu yeyote Tattoo, hata kama atakuwa ni mpenzi wake kwa sababu ameshindwa kufanya hivyo hata kwa wazazi wake.

"Mimi sina tattoo yoyote mwilini mwangu na sijawahi kuchora, sikumchora Baba yangu na Mama yangu ambao wamenileta duniani, halafu nichore kwa mtu niliyemkuta chini ya jua, kiukweli sijawahi kuona mtu wa kumchora".

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita