
Khaligraph Jones
Staa huyo mwenye michano tofauti, amesema kuwa ameamua kufanya hivyo baada ya kufanya ngoma tofauti kwa muda na hivyo kupooza ushindani uliokuwa unaendelea katika muziki kwa upande huo na hapa anasema na mashabiki wake na vilevile mahasimu wake katika game.
Mbali na freestyle hii kwa mashabiki wake, Khaligraph katika mahojiano yake na East Africa Radio wiki hii amewataka mashabiki wake pia kufahamu ju ya mpango wake wa kufanya ngoma na msanii Proffesa Jay kutoka hapa Tanzania hivi karibuni.
Sehemu ya Freestyle ya kufungulia mwaka ya khaligraph