Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kinachomchukiza Matumaini kwa Ebitoke

Jumatano , 12th Feb , 2020

Mchekeshaji wa muda mrefu hapa nchini Matumaini, amesema anamkubali sana mchekeshaji wa sasa Ebitoke ila anachukizwa na suala lake la kupenda skendo, kashfa na kiki anazofanya kwa hivi sasa.

Picha ya wachekeshaji kushoto ni Matumaini, kulia Ebitoke

Matumaini amesema hayo wakati anapiga stori na Big Chawa kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 7:00 mchana mpaka 10:00 jioni.

"Mimi nimekaa Kaole miaka minne bila ya kuchaguliwa kufanya maigizo, siku ambayo naambiwa nikarekodi kipande cha kuigiza na Ray nilitoka kwa mguu kutoka Yombo hadi Kimara Suka sehemu ambayo alikuwa anarekodi, kwa sasa hivi nampenda sana Ebitoke kwenye suala la uchekeshaji na anaweza sana ila shida yake ana skendo chafu" amesema Matumaini.

Pia Matumaini amezungumzia kuhusu uhusiano wake na mchekeshaji mwenziye ambaye ni Kiwewe baada ya taarifa za wao kuwa kwenye mahusiano.

"Kiwewe ndiyo aliona kipaji changu tangu mwaka 2005 ndipo tukaanza kuwa marafiki, na muunganiko wetu ulikuja baada ya kufanya mazoezi pamoja ila hatupo kwenye mahusiano ni marafiki tu ila unaweza ukasema ni wapenzi" ameongeza.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria