Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kingwendu arudisha fomu, ataja Jimbo analolichukua

Jumatatu , 6th Jul , 2020

Mchekeshaji wa muda mrefu Bongo Kingwendu amesema leo Julai 6, 2020 anarudisha fomu ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Ilala na ametaja vipaumbele vyake kama Maji, Shule na Hosptali.

Mchekeshaji Kingwendu

Kingwendu amesema tayari ameshapata wadhamini na hataweza kufilisika kwa kuuza nyumba na gari mbili kama ilivyomtokea kwenye kampeni za mwaka 2015, na amewaasa wasanii wengine wanaogombea Ubunge kuwa wasiwe lele mama kwenye siasa.

"Chama changu ni CUF na Matarijio yangu mambo yatakuwa safi na nimejipanga tofauti na mwaka 2015, Nilikuwa nataka niende tena Kisarawe ila ma-boss zangu wakanishauri na kuniomba nigombee Jimbo la Ilala, vipaumbele vyangu ni kuangalia shida za wananchi kama vile Maji, kuongeza Hospitali kila kata, shule na usafi" amesema Kingwendu 

Aidha Kingwendu ameongeza kusema kipindi cha kampeni za mwaka 2015 alikuwa peke yake ila sasa hivi amepata wadhamini hivyo hataweza tena kuuza gari au nyumba ili kuendesha shughuli zote za kampeni 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala