Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kuna watu walijua sisi ni viziwi kweli"-Carpoza

Ijumaa , 10th Jan , 2020

Wachekeshaji wanaofanya vizuri kwa sasa hapa nchini Oka Martin na Official Carpoza, wamesema kuna watu walidhani kama wao ni viziwi kweli, kutokana na vichekesho vyao wanavyovifanya kuonesha kuwa ni viziwi.

Oka Martin upande wa kushoto, kulia ni Official Carpoza

Wakipiga stori na EATV & EA Radio Digital, wamesema mawazo ya kuchekesha kama viziwi yalikuja wakati wanapiga stori na mmoja wao akaja na kauli ya 'Unasemaaa' ndipo hapohapo wakaanza kurekodi video na kufanya kama wana matatizo ya kusikia.

"Tulikuwa katika mihangaiko yetu ya stori ikaja ile kauli 'unasemaaa' ndipo ilipozalishwa pale, tukafanya hivyo na bahati nzuri mtaani ikapokelewa vyema, kuna watu wengi waliamini kama sisi ni viziwi, walihisi ni kweli hatusikii vizuri" wamesema Oka Martin na Carpoza.

Wawili hao wameongeza kuwa "Kwa wageni wengi walidhania hivyo ila kwa watu wanaotufahamu tangia mwanzo ilikuwa sio rahisi kujua kama sisi ni viziwi kweli, ukiangalia vichekesho unaweza ukaamini, lakini ukija kwenye ukweli wetu unaona vitu vingine tofauti na utabaki kusema kumbe tunaigiza tu" ameongeza Oka Martin.

Pia wamesema muunganiko wao wa kufanya vichekesho hivyo, ulianzia studio walipokutana kwa sababu kabla ya kuingia kwenye vichekesho walikuwa wanafanya muziki wa HipHop.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria