Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kwa umri wangu kusema 'niko single' ni uongo

Jumapili , 16th Dec , 2018

Msanii wa kike katika kiwanda cha Bongo Fleva, Mwasiti amesema kuwa kwa sasa hawezi tena kudanganya katika 'interview' kuwa yuko single kama zamani kwasbabu ya umri wake.

Mwasiti na Roma

Akizungumza kwenye Friday Night Live (FNL) ya EATV, Mwasiti amesema kuwa wanamuziki wengi wa kike hasa miaka ya nyuma walikuwa wanaogopa kusema ukweli kuwa wana mahusiano kwa kuhofia kuwa wataonekana tofauti na wengine wakihofia kutopata ushirikiano mkubwa kutoka kwa wanaume, lakini kwa sasa ni tofauti na sio jambo la ajabu kwa mwanamuziki wa kike kumtaja mpenzi wake.

"Niko kwenye mahusiano, niko kwenye mahusiano mazuri tu na nina furaha, kwa umri niliofikia kila siku kwenda kwenye 'Interview' na kusema niko single ni uongo, ina maana hata hufuatwi na wanaume?," amesema Mwasiti.

Pia amezungumzia kazi yake mpya aliyomshirikisha Roma inayojulikana kama 'Fall in love' kuwa imekwenda vizuri kutokana na Roma kutaka uhalisia zaidi katika video, ndiyo maana katika 'scene' nyingi wameonekana kama ni wapenzi.

"Sehemu nyingi mnazoziona sio kama tulikuwa tunaigiza, tukicheka tunacheka kweli, ilikuwa nzuri kwasababu Roma alikuwa anataka uhalisia kwenye video. Alikuwa anataka watu waache zile kwamba wewe mume wa mtu unafanya Bongo Fleva basi huwezi kufanya kazi na mwanamuziki wa kike na mkafanya vitu ambavyo wanafanya wapenzi," ameongeza.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera