Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lulu Diva afunguka kutelekeza mtoto

Ijumaa , 12th Apr , 2019

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Lulu Diva amefunguka juu ya tuhuma za kutelekeza mtoto akisema kwamba taarifa hizo hazina ukweli kwani hajawahi kuwa na mtoto.

Akizungumza hilo, Lulu Diva amesema kwamba suala la kuwa na mtoto halina siri, na iwapo kuna mtu anamjua mtoto aliyetelekezwa basi ampeleke ili aishi naye.

Lulu Diva aendelea kufunguka

Akiendelea kufafanua zaidi tuhuma hizo zilizoibuliwa na msanii mwenzake TID, Lulu Diva amesema kwamba hawezi kumlaumu TID kwani anazeeka, huku akimtaka kuacha kuzungumza mambo ambayo hayana uhakika kwa kuwa sio vitu alivyozoeleka kuvifanya.

“TID siwezi kumlaumu anaanza kuzeeka, amekaa muda mrefu sana kwenye game, kitu kama mtoto ni vitu ambavyo automaticaly lazima kitaonekana, Lulu ana mtoto nimtupe nimpeleke wapi,  mimi sina mtoto, kama ni ninae kwa nini nisikae na mwanangu, kitu gani kitanizuia, kama kuna mtu anasema mimi nimezaa kuna mtoto wangu amlete, nitamlea”, amesema Lulu Diva.

Lulu Diva ameendelea kusema, “T.I.D asinitafute ubaya, ameanza lini kuimba taarabu kwa sababu sio muziki wake, hi ni taarab unafanya kwa sababu unaongea kitua ambacho si kweli”.

TID aliyesema Lulu Diva ana mtoto

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita