Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mapenzi yamvuruga Nuh Mziwanda

Jumatatu , 21st Aug , 2017

Msanii wa mwenye 'hit song' ya 'anameremeta', Nuh Mziwanda ameanza kupoteza muelekeo wa maisha yake kiujumla kutoka na kutendwa kipenzi mpaka kufikia hatua ya kuomba msaada katika mitandao ya kijamii kwa kutaka achaguliwe mwanamke wa wa kumuoa tena.

Msanii Nuh Mziwanda.

Nuh aliweka wazi hisia zake hizo kupitia ukurasa wake wa Instagram kwa kuandika "nimejifunza mengi sana kwenye 'life style' yangu ya kimapenzi na najitoaga sana, ila siku ya mwisho naumizwa 'je unahisi mwanamke wa aina gani atanifaa na nitaweza kudumu naye? leo nawaachieni mashabiki wangu mmalize hili". Jambo hilo baadhi ya mashabiki zake walilichukulia tofauti na kupelekea kutoa maneno yenye ukakasi kwa kile wanachokidai kutoridhishwa na mwenendo wa msanii huyo kutotaka kutuliza akili yake baada ya kupata maumivu ya kimapenzi mfululizo kutoka kwa watu ambao alikuwa akijihusisha nao kimapenzi.

Huu ndiyo ujumbe aliyoweka Nuh Mziwanda katika ukurasa wake wa Instagram.

Kutokana na hicho mashabiki zake walimshauri kwa kumtaka msanii huyo kuacha pupa ya kukimbilia kwenye mahusiano mapya na badala yake atulize akili yake katika kujipanga kimaisha pamoja na kutumia muda huo kumuomba Mungu ili aweze kumchagulia mke mwema nasiyo kama yeye alivyokuwa amefanya.

Maoni ya mashabiki zake.

Nuh Mziwanda katika siku za hivi karibuni ameonekana kuandamwa na jinamizi la kukataliwa kimapenzi na wasichana wawili tofauti ambao aliweza kuwaweka wazi ambaye ni Shilole pamoja na aliyekuwa mke wake wa ndoa Nawal ambapo inasemakana, Nuh Mziwanda alipigwa kibuti kutokana na kutokuwa na pesa za kutosha za kuweza kuihudumia familia ya mwanamke.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria