Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Marehemu George Tyson kuzikwa Kenya wiki ijayo

Jumamosi , 31st Mei , 2014

Aliyekuwa Mtayarishaji Vipindi na Muongoza filamu maarufu, Marehemu George Tyson anatarajiwa kusafirishwa wiki ijayo kwenda nchini Kenya kwaajili ya maziko.

Marehemu George Tyson

Taarifa hizi ni kwa mujibu wa ndugu wa Marehemu, Bwana Benson Hukumu ambaye pia ameeleza juu ya kuwasili kwa mwili wa Marehemu kutoka Morogoro jioni ya leo.

George Tyson amepoteza maisha katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Gairo akiwa safarini kurejea Dar es Salaam akiwa na timu ya kipindi cha The Mboni Show.

Sababu ya ajali hii imeelezwa kuwa ni tairi ya gari kupasuka na kusababisha gari kupoteza muelekeo na kupinduka, ikiwa na watu nane ndani yake ambapo George peke yake ndiye aliyepoteza maisha na wengine kujeruhiwa.

Kwa wale wote waliokuwa na wasiwasi juu ya hali ya Mtangazaji wa kipindi Mboni Masimba, wanatakiwa kufahamu kuwa mtangazaji huyu hakuwa katika gari iliyopata ajali na yupo salama akiendelea kukabiliana na mshtuko na huzuni kubwa kutokana na tukio hili.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea