Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Master J aeleza alichokatazwa na Baba yake

Alhamisi , 10th Oct , 2019

Producer mkongwe wa muziki wa BongoFleva Master J, ameshea jambo alilofundishwa kutoka kwa Baba yake Mzee Kimario, pamoja na 'issue' ya muonekano wa nywele zake alizokuwa nazo kwa muda mrefu.

Master J amesema hayo yote kupitia EATV & EA Radio Digital, mara baada ya kuulizwa kuhusu ukimya aliokuwa nao mpenzi wake Shaa, kwenye muziki ambapo amejibu.

Itabidi mumuulize yeye mwenyewe kwa sababu mimi kwenye upande wa muziki sihusiki kumsimamia na hiyo nilifundishwa na mzee wangu kwamba nisichanganye biashara na mambo ya familia “ amesema Master J.

Aidha kwa upande wa muonekano wa mavazi amesema, mpenzi wake Shaa huwa anampangia jinsi ya kuvaa na anapendelea avae mavazi ya suti ila yeye hapendi kutokana na hali ya hewa na binafsi anapendelea kuvaa Tshirt na Jeans.

Pia akiongelea kuhusu uwezekano wa kubadilisha style yake ya nywele, ambazo amezitunza kwa muda mrefu amesema

Zimenichukua muda sana, unajua vijana wa sasa hivi wanachukua nywele hizi wanaziunga ila mimi nimeanza nazo hizi zikiwa ndogo mpaka leo hii zipo hivi kwa hiyo nashindwa kuzikata, maana nimetoka nazo mbali ziadi ya miaka 7 na kubadilisha itakuwa sio rahisi” amesema Master J.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria