Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Maziwa yanafanya nisiachane na Mke wangu"-Zumo

Ijumaa , 14th Feb , 2020

Kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio kinachoruka kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 7:00 mchana -10:00 jioni, kimepiga stori na mchekeshaji Anko Zumo ambaye amesema mapenzi yake yamedumu kwa kunogeshwa na maziwa ya mkewe Habiba Zumo.

Picha ya Anko Zumo na mke wake Habiba Zumo

Anko Zumo amefunguka hilo kupitia  msimu huu wa wapenda nao na Nogesha Mahaba, ambapo amesema sababu ya kukaa kwa muda mrefu na mkewe ni kunyeshwa maziwa ambayo mpaka leo yamefanya wamefikisha miaka 8.

"Mwanzoni mimi na yeye tulikuwa hatuonekani pamoja japo mapenzi yalikuwepo, huyu ni mke wangu wa tatu, wa kwanza tulikaa miaka mitano wa pili tulikaa mwaka mmoja tukaachana, ila naona huyu ameniweza maana hata akinikera hatuachani, nafikiri ni yale maziwa ambayo yamenogesha kwa sababu tumekaa muda mrefu kwa miaka 8" ameeleza.

Aidha akizungumzia kuhusu utofauti aliouna kwa mke wake huyu wa sasa na hao ambao waliopita Anko Zumo ameongeza kusema.

"Utofauti niliouona kwanza kabisa huyu ni mvumilivu, cha pili ni kitendo cha kulea watoto wangu wote wawili vizuri japokuwa sio wa kwake, tatu haendekezi sana mahaba".

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa