Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mobetto asema hana muda wa kumpa binadamu

Jumatatu , 28th Oct , 2019

Mrembo na Mama wa watoto wawili, Hamisa Mobetto,amesema kuwa kwa sasa yupo 'single' na hana muda wa kumpa binadamu mwingine, pamoja na kutolea ufafanuzi juu ya video yake iliyosambaa mitandaoni, ikionesha anamkatikia viuno mwanaume mmoja ambaye hajajulikana kwa jina wala sura.

Kupitia  EATV & EA Radio Digital, Hamisa Mobetto, amesema ameamua kuwa single kwa sababu ana mambo mengi ya kufanya na anaona muda hautoshi wa kumpa binadamu mwingine.

 "Mimi nipo single, sina mpenzi na sipo tayari kuingia kwenye mahusiano na sio kama sitongozwi au sina watu ambao wanataka kuwa na mimi ila kwa sasa nipo bize sana na mambo yangu, nafanya kazi nyingi sana naona muda kama hautoshi na siwezi kuwa na muda mwingine wa kumpa binadamu zaidi ya watoto wangu na familia yangu" amesema Mobetto.

Aidha akizungumzia video iliyosambaa mitandaoni, ikimuonesha akimkatikia mwanaume amesema.

"Tulikuwa club na yule ni rafiki yangu kwahiyo ni mambo ya kawaida tu sijui kwanini ilikuwa ni jambo kubwa kwa sababu naamini kila mtu anacheza na sikutegemea kama itatrend ila ni kawaida, nilikuwa nacheza nyimbo tu hakuna cha mpenzi wala kitu kingine" ameeleza Hamisa Mobetto.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini