Jumatatu , 7th Mar , 2022

Mtayarishaji wa muziki, Nahreel anasema hana mtoto wa nje na taarifa zinazosambaa amezaa na mwanamke mwingine ni uongo.

Nahreel na Aika

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 

A post shared by Nahreel (@nahreel)

''Kutokana na habari zinazosambaa kwenye blog mbali mbali na watu mbali mbali maarufu pia wamekuwa wakipost bila kuwa na ushahidi wowote, hizi habari sio za kweli. Nina watoto wawili @gold_navykenzo na @jamaika_navykenzo . Na nimezaa na mwanamke mmoja @aikanavykenzo Kuweni makini mnapotoa habari Familia yetu haiendekezi Umbeya ila hii imevuka mipaka.'' ameandika Nahreel.