Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Napangiwa mambo mabaya' - Baraka De Prince

Jumatano , 30th Oct , 2019

Msanii wa BongoFleva nchini, Barakah The Prince, amesema kwa sasa ana maadui wengi sana ambao wanampangia mipango mibaya, ikiwemo kumkwamisha kwenye muziki wake na shughuli zake binafsi kwa namna moja au nyingine.

Barakah The Prince ameiambia EATV & EA Radio Digital, kuwa kuna watu tofauti tofauti na kwenye 'Angle" tofauti, ambao wanamkwamisha kufanya maendeleo yake na kutotaka afanikiwe.

"Mimi nina maadui wengi sana wengine wanaweza wakawa Dj's , mameneja , watangazaji wa Radio na Tv, kwa hiyo kuna watu tofauti tofauti na katika Angle tofauti, lakini unaweza ukawa na adui lakini siyo kwamba yeye ndiyo atakukwamisha, unaweza ukawa mtu unayecheka naye au kutembea naye ndiyo atakukwamisha" ameeleza Barakah The Prince.

"Pia nina maadui wengine ambao hata sijui kama ni maadui zangu, kuna watu wengine wanaweza wakawa wanakuchukia bila sababu wapo wanaochukuia maisha yako, kipaji chako, kazi yako na sio lazima awe adui yako au muwe maadaui na mtu yeyote ambaye anakuchukia hapendi ufanikiwe na akipata 'Target' ya kukukwamisha atakukwamisha tu" ameongeza.

Aidha Barakah The Prince amesema kuwa kauli zake hazijamlenga mtu yeyote, kwamba ndiye anamkwamisha katika kazi zake ila anajua wapo watu wanaopanga mipango mibaya kuhusu yeye

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea