Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ni heri mtu akose figo kuliko 'bando' - Roma

Jumatano , 29th Mar , 2017

Msanii Roma Mkatoliki amesema hali ya utandawazi imeharibu nchi ya Tanzania katika utendaji kazi maofisini mpaka shuleni kutokana na watu kutekwa na mitandao  ya kijamii kwa kutotaka kupitwa na vitu vinavyoendelea kutokea.

Roma

Akizungumza katika kipindi cha eNewz kinachorushwa na EATV rapa huyo anayetamba na ngom ya 'Usimsahau Mchizi' ametoa kauli hiyo kufuati hali ya nchi kukumbwa na matukio makubwa ya kisiasa kila kukicha na kupelekea kila mwananchi kutamani kuona au kusikia mwenyewe.

“Hali ilipofikia sasa hivi ni heri mtu akose figo kuliko bando nikimaanisha kwamba nguvu ya mitandao kijamii  imekuwa kubwa sana kiasi kwamba ukienda mashuleni, maofisini utakuta watu saa 12 asubuhi wakiripoti maeneo yao, mchongo wa kwanza utakuta mtu anakwambia ebwana umeona fulani instagramu ameandika nini, kitu kama hicho kuanzia mwaka 2012 kushuka chini sijawahi kukiona”. Alisema Roma

Aidha msanii huyo amejitolea mfano kwa kusema imefikia hatua endapo wanapokutana na washkaji zake basi ndani ya dakika 40 wote wanajikuta wamepiga ukimya (ganzi) kila mtu huwa yupo ‘busy’ na simu yake kuangalia ‘ubuyu’ katika mitandao ya kijamii.

Kwa upande mwingine Roma amefafanua ile kauli yake aliitoa kuwa ‘tunajenga Tanzania ya viwanda au Tanzania ya ubuyu’ na kusema laiti kama watanzania wote wangekuwa wapo pamoja katika kutazama huko basi lengo hilo la kubadirisha nchi ingekuwa nyepesi lakini sasa hivi imekuwa tatizo kubwa kutokana watanzania wengi kuwa hawajapewa nafasi ya kutoa mawazo yao katika kuiboresha na kuijenga dhana hiyo katika nafasi inayostahili.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria