
Picha ya Mr II Sugu
"Nilikuwa nataka kunyanyua heshima ambayo inapotezwa ya mziki wa HipHop na heshima ya kwangu inayopotezwa. Miaka 30 lakini hakuna mtu anayetaka kutambua juhudi ninazofanya". amesema Sugu
Zaidi tazama hapa kwenye video.
Mr II Sugu 'Jongwe' amesema lengo la kufanya tamasha la Dream Concert na kumualika Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ni kurudisha heshima yake na heshima ya mziki wa Hip Hop.
Picha ya Mr II Sugu
"Nilikuwa nataka kunyanyua heshima ambayo inapotezwa ya mziki wa HipHop na heshima ya kwangu inayopotezwa. Miaka 30 lakini hakuna mtu anayetaka kutambua juhudi ninazofanya". amesema Sugu
Zaidi tazama hapa kwenye video.