Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nisher amkingia kifua Adam Juma

Jumatatu , 21st Aug , 2017

Muongozaji wa video nchini, Nisher amesema bado anashangazwa na watu wanaodai yeye alikuja kuchukua (crown) ya Mkongwe Adam Juma katika uongozaji wa video za muziki kwani hakuna anayeweza kufanya hivyo na kushauri watu wasome historia.

Director Nisher

Nisher amesema hayo kupitia mitandao ya kijamii alipoamua kujibu maswali ya mashabiki zake ambayo yamekuwa yakiulizwa ambapo Nisher amesema  hata sasa hivi Adam Juma anaweza kufanya video kali kwani hakuna aliyechukua crown yake na zaidi ni kwamba tayari Adam alishatengeneza 'brand' yake.

“Mpaka leo kuna ambao wanasema mimi nilimfukuza Adam Juma kwenye music video industry, siwezi kumfukuza Adam Juma, nimekuta ana C.V yake ndefu inatisha, namuheshimu siku zote siwezi nikakaa niseme nimekuja kuichukua crown ya Adam Juma na the game is big enough for the both side, industry ni kubwa kiasi kwamba inatutosha watu wote kila mtu anaweza kuwa na crown," Nisher.

Nisher akiwa na Mkongwe Adam Juma

“Mimi na uwezo wa kunyamaza mwaka mmoja au miezi kadhaa nisitoe video lakini nikitoa video imetua, ni kwa sababu nimeshajenga hilo jina kwa takribani miaka saba sasa hivi, nobody can take my crown, nobody can take Adam Juma's crown,” amesema Nisher.

Pamoja na hayo Nisher ameongeza kuwa anaamini muda na wakati wowote Adam Juma akitaka kurudi kwenye game anaweza japo kuna changamoto za biashara ambazo yeye anaamini haina kufeli.

“Adam Juma sasa hivi akiamua kupiga video inatoka kali, amerudi, so hakuna kukosea, hakuna kufeli. Biashara tu inakupanda na kushuka, kuna wakati ni high season na kuna wakati ni low season, its business,” amesisitiza.

Pamoja na hayo Nisher amewataka mashabiki wasome pamoja na kufuatilia historia mbalimbali ili wasiweze kuchanganya mambo ambayo hayawezi kufutika katika historia

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria