
Rapa Octopizzo akipozi na wakimbizi Kakuma Kenya
Octopizzo kufuatia tukio hili amewataka mashabiki wake kufahamu kuwa, kuhudumia wengine ndiyo thamani ama kodi ya maisha ya kila mmoja hapa duniani.
Msanii huyu amesema kuwa, anapenda maisha yake yatafsiriwe kwa kile ambacho anakiandika katika mioyo ya watu aliowagusa, na si kwa kile kitakachoandikwa katika kaburi lake pale utakapofika mwisho wa maisha yake.