Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Picha ya mwezi, Prof Jay na P Majani imeisha hiyo

Jumamosi , 4th Jul , 2020

Baada ya kuwa na tofauti kwa wakongwe wa muziki hapa nchini kati ya mtayarishaji P Funk Majani na Mbunge anayeongoza watu na wanyama jimbo la Mikumi Prof Jay, wameonekana kumaliza tofauti zao baada ya kupost picha wakiwa pamoja.

Picha ya pamoja kwa wakongwe wa muziki kati ya Producer P Funk Majani na Mbunge wa Mikumi Prof Jay

Picha hiyo imepostiwa katika mtandao wa Twitter na Instagram za akaunti ya Prof Jay baada ya kutembelewa na P Funk Majani na msanii Mwana Fa katika studio yake mpya ya Mwanalizombe iliyopo Mikumi mkoani Morogoro.

"Ni baraka juu ya baraka mwanalizombe studios inazidi kupasua anga "Bomb Bomb Fire" na leo tumebahatika kutembelewa na magwiji wawili P Funk Majani na Mwana Fa, yaliyopita si ndwele tumeamua kuganga yajayo, tumerudi kufanya kazi pamoja tukiwa imara zaidi, yajayo yanafurahisha , eeeh Mwenyezi Mungu tusaidie" ameandika Prof Jay 

Mashabiki na Baadhi ya mastaa mbalimbali walionekana kufurahia kuona wawili hao kuungana pamoja huku wengine wakisema hiyo ni picha bora ya mwezi Julai.

Ukaribu wao uliingia tofauti baada ya P Funk Majani kupokea Milioni 100 za haki miliki za wimbo alioutengeneza ambao uliotumiwa na msanii wa Uganda, ambapo Cosota walidai kwamba pesa hizo alilipwa Prof Jay.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala