Msanii wa BongoFleva Q Chillah
Q Chillah ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha PlanetBongo cha East Africa Radio wakati akitambulisha ngoma yake mpya ya Utotoni.
"Mimi napenda sana ukifanya kitu ambacho mimi nakipendamimi , ndiyo maana huwa nafurahi sana kwa sababu unawaaminisha Mashabiki zako kuwa kuna kaka anayefanya muziki kama huu ninaoufanya." amesema Q - Chillah
Tazama video kamili hapo chini