Picha ya msanii R. Kelly
Tovuti ya Magereza imethibitisha kuwa siku ya Jumatano wiki hii Kelly alikuwa tayari amewasili katika Gereza la Metropolitan Detention Center huko Brooklyn.
Tangu mwaka 2019 R. Kelly alikuwa akishikiliwa katika Gereza la MCC kwa makosa matatu ikiwemo la unyanyasaji wa kingono kwa wasichana wenye umri mdogo.

