Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rose Ndauka aeleza alivyotumika kwenye maisha yake

Jumanne , 28th Jan , 2020

Msanii wa filamu Rose Ndauka, amefunguka na kusema kipindi ambacho ametumika sana kwenye maisha yake ni pale alipokuwa kwenye umri wa ujana na ujinga "Foolish Age" ambapo alikuwa anapenda starehe kupitiliza.

Msanii wa filamu Rose Ndauka

Rose Ndauka amesema katika umri huo wa kijinga, ametumika sana kwa kwenda kwenye kumbi za starehe kuanzia Ijumaa hadi Jumapili.

"Muda ambao nahisi nimetumika ni ule wakati nakuwa na umri wa kijinga na ujana "Foolish Age" maana nilikuwa naenda club kuanzia Alhamisi hadi Jumapili, tena ilikuwa ni sababu ya marafiki ambao wamenizunguka ila nashukuru Mungu nimebadilika, sasa hivi naishi kwenye ndoto za maisha yangu" amesema Rose Ndauka.

Aidha Rose Ndauka amewachana wanawake ambao wanategemea kudanga ili kupata pesa kwenye maisha yao kwa kusema.

"Unaweza ukawa na sponsor "danga" kibao, lakini ukaishia kupiga picha za selfie hotelini, kula na kununua nywele lakini hautafanya kitu cha maana, ila mimi nimepambana mwenyewe hadi kufikia hapa kufungua ofisi yangu na kuajiri vijana wengine"

Rose Ndauka kwa sasa ni Mkurugenzi katika ofisi yake inayojishughulisha na masuala ya urembo.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani