Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu inayomfanya Lulu Diva asipate watoto

Alhamisi , 10th Oct , 2019

Baada ya kuwepo na taarifa nyingi zinazomhusu msanii  Lulu Diva kutelekeza mtoto, sasa leo Oktoba 10, 2019, ameweka wazi sababu zinazomfanya asitake kupata watoto kipindi hiki.

Msanii Lulu Diva

Lulu Diva amesema hayo baada ya kauli aliyoitoa msanii wa kundi la Navy Kenzo "Aika" ambaye alipost picha katika mtandao wa kijamii wa Instagram akisema, baadhi ya Wanawake wanahofia kupata watoto kwa sababu wanahisi wataharibu usichana wao.

EATV & EA Radio Digital imempata Lulu Diva, ambaye amesema kwa upande wake 'issue' ya kutotaka mtoto kwa sasa ni haijafikia muda sahihi wa yeye kuzaa, pamoja na kuwa na mambo mengi ya kufanya na kuogopa kulea.

"Mimi siogopi kuzaa kwa sababu ya nini, ila naogopa kuzaa sasa hivi kwa sababu sio muda sahihi kwangu na nina vitu vingi sana ambavyo nahitaji kuvitengeneza mimi mwenyewe, sitegemei kuzaa ili nimtegemee baba wa mtoto ambaye asipokuwepo mambo yaende hovyo, na mtoto anahitaji muda nahisi bado sijatulia kwa ajili ya kulea nahitaji muda zaidi" ameeleza.

Aidha ameeleza umri sahihi wa yeye kupata mtoto itakuwa miaka miwili au mitatu ijayo na mipango yake ni kupata watoto wanne hadi watano kwa kuwa kwao yeye amezaliwa peke yake hataki kupata mtoto mmoja pekee kwa sababu anajua itampa shida kwenye ukuaji wake. ameongeza.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita