Kwenye ukurasa wake wa twitter Wakazi ameandika ujumbe akisema kwamba alijua suala hilo tangu wakati wa msiba, lakini alishindwa kuliweka wazi kwani hakuwa kwenye nafasi ya kulizungumzia.
Family kuhisi foul-play on rambirambi ni baada ya kuonekana sisi (Artists) ndio tumegharamia kila kitu na iliyobaki akakabidhiwa Mama Zillah.
I knew it toka siku ya mazishi, ila haikuwa nafasi yangu kui-address.
I wouldn't jeopardize my integrity nor hurt the family like that.
— Webiro N Wassira (@Wakazi) February 22, 2019
Wakazi alienda mbali zaidi kwa kuzungumzia suala la Fid Q kuweka wazi kilichotokea, na kueleza kuwa huenda Fid Q alishindwa kukaa nalo moyoni lakini hakustahili kulizungumzia, bali angewaachia wana familia.
Yawezekana Fid Q alichukizwa sana na tetesi hizo kiasi cha kusema hadharani tuhuma hizo in ambiguity bila kujali consequences to the innocent people whom the public knew as collectors. The damage could be irreparable.
Nendeni kwa wafiwa and ask them about us. That's all
— Webiro N Wassira (@Wakazi) February 22, 2019