Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sheikh Yahaya amtabiria Dimpoz makubwa

Alhamisi , 21st Feb , 2019

Mtoto wa mtabiri maarufu Tanzania, Maalim Hassan Sheikh Yahaya Hussein, ametoa utabiri wake juu ya msanii Ommy Dimpoz, na kusema kwamba msanii huyo atainuka tena kwa spidi kubwa ziadi, na kazi zake zitafanya vizuri.

Akizungumza na Big Chawa kwenye Planet  Bongo ya East Africa Radio, Maalim Yahaya amesema kwamba ingawa Ommy Dimpoz watu walishamkatia tamaa, lakini msanii huyo atawashangza wengi pale atakapoinuka, na wale wanaomsema vibaya hawataamini kitakachotokea.

“Ommy Dimpoz tena walikuwa wanamtabiria vibaya, ndio atakuja ataibuka vibaya sana, kwa sababu watu wanamuona anakwenda shimoni lakini atarudi vizuri, nyota yake ni mapacha, mapacha asili yake ni upepo na upepo uko flexible, huwezi kupumua bila hewa, namtabiria Ommy ataibuka sana, na wale waliokuwa wanamsemea vibaya watashangaa”, amesema Maalim yahaya.

Sambamba na utabiri huo, Maalim Yahaya amewatabiria wasanii wakubwa kufanya vizuri zaidi kwa mwaka huu, hata wale ambao wanachipukia watakuwa zaidi na kuwafunika wale wakubwa.

“Wasanii watapata tuzo hasa wale wakubwa, mfano Alikiba anaonekana atakwenda juu zaidi, Jaydee atakuwa very strong akitoka atatoka vizuri sana, na wasanii wengine”, amesema Maalim Husein.

Mtabiri huyo amesema kwamba mwaka huu licha ya mafanikio watakayoyapata wasanii, pia utakuwa mwaka wa maafa kwao kutokana na kuwa mwaka mgumu.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani